Yeremia 48:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 ‘Jinsi ameingiwa na hofu! Pigeni mayowe! Jinsi Moabu ameugeuza mgongo! Ameona aibu.+ Na Moabu amekuwa kitu cha kudhihakiwa na kitu chenye kuogopesha kwa wale wote wanaomzunguka pande zote.’”
39 ‘Jinsi ameingiwa na hofu! Pigeni mayowe! Jinsi Moabu ameugeuza mgongo! Ameona aibu.+ Na Moabu amekuwa kitu cha kudhihakiwa na kitu chenye kuogopesha kwa wale wote wanaomzunguka pande zote.’”