Yeremia 51:62 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 62 Nawe useme, ‘Ee Yehova, wewe mwenyewe umesema juu ya mahali hapa, kupakatilia mbali ili kwamba mkaaji+ yeyote asiwe ndani yake, mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, bali pawe mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.’ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 51:62 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,6/2017, uku. 3
62 Nawe useme, ‘Ee Yehova, wewe mwenyewe umesema juu ya mahali hapa, kupakatilia mbali ili kwamba mkaaji+ yeyote asiwe ndani yake, mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, bali pawe mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.’