Yeremia 52:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na baadhi ya watu wa hali ya chini kati ya watu na wale watu wengine walioachwa katika jiji+ na wale waliokimbia wakajiunga na mfalme wa Babiloni na wale wafanyakazi stadi wengine Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 52:15 ip-2 405 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 52:15 Unabii wa Isaya II, uku. 405
15 Na baadhi ya watu wa hali ya chini kati ya watu na wale watu wengine walioachwa katika jiji+ na wale waliokimbia wakajiunga na mfalme wa Babiloni na wale wafanyakazi stadi wengine Nebuzaradani mkuu wa walinzi akawapeleka uhamishoni.+