Ezekieli 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walipoenda, hayo yalienda; na waliposimama tuli, nayo yalisimama tuli; na walipoinuliwa kutoka duniani, magurudumu yaliinuliwa juu karibu nao, kando yao, kwa maana roho ya yule kiumbe hai ilikuwa katika magurudumu.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:21 Ibada Safi, kur. 38-39
21 Walipoenda, hayo yalienda; na waliposimama tuli, nayo yalisimama tuli; na walipoinuliwa kutoka duniani, magurudumu yaliinuliwa juu karibu nao, kando yao, kwa maana roho ya yule kiumbe hai ilikuwa katika magurudumu.+