Ezekieli 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, kula unachoona. Kula kitabu hiki cha kukunjwa,+ uende, ukaseme na nyumba ya Israeli.” Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 3:1 Mnara wa Mlinzi (Funzo),11/2022, uku. 6 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,6/2017, uku. 5
3 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, kula unachoona. Kula kitabu hiki cha kukunjwa,+ uende, ukaseme na nyumba ya Israeli.”