Ezekieli 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ikawa kwamba, walipokuwa wakipiga nami nikiwa nimeachwa, nikaanguka kifudifudi,+ nikapaaza kilio, na kusema: “Ole+ wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, unawaharibu mabaki wote wa Israeli huku ukimwaga ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:8 Ibada Safi, uku. 176
8 Na ikawa kwamba, walipokuwa wakipiga nami nikiwa nimeachwa, nikaanguka kifudifudi,+ nikapaaza kilio, na kusema: “Ole+ wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Je, unawaharibu mabaki wote wa Israeli huku ukimwaga ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”+