Ezekieli 16:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nilikufanya uwe umati mkubwa sana kama kuchipuka kwa shamba ili uwe mkubwa+ na kuwa mkuu na kuingia ndani ukiwa na pambo bora kabisa.+ Yale maziwa mawili yalikomaa kabisa, nywele zako mwenyewe zikakua sana, ulipokuwa uchi na tupu.” ’
7 Nilikufanya uwe umati mkubwa sana kama kuchipuka kwa shamba ili uwe mkubwa+ na kuwa mkuu na kuingia ndani ukiwa na pambo bora kabisa.+ Yale maziwa mawili yalikomaa kabisa, nywele zako mwenyewe zikakua sana, ulipokuwa uchi na tupu.” ’