17 hakika nitakubariki nami nitauzidisha uzao wako kama nyota za mbinguni na kama chembe za mchanga zilizo kando ya bahari;+ na uzao wako utamiliki lango la adui zake.+
7 Na wana wa Israeli wakazaa na kuanza kujaa; nao wakazidi kuongezeka na kuwa wenye nguvu zaidi kwa kiwango kisicho cha kawaida, hivi kwamba wakaijaza nchi.+
17 “Wakati ulipokuwa ukikaribia kwa ajili ya utimizo wa ahadi ambayo Mungu alikuwa amemtangazia Abrahamu waziwazi, watu wakaongezeka na kuzidi katika Misri,+