Ezekieli 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ametoa kwa riba,+ na amechukua faida,+ naye hakika hataendelea kuishi. Ameyafanya machukizo hayo yote.+ Hakika atauawa. Damu yake mwenyewe itakuwa juu yake.+
13 Ametoa kwa riba,+ na amechukua faida,+ naye hakika hataendelea kuishi. Ameyafanya machukizo hayo yote.+ Hakika atauawa. Damu yake mwenyewe itakuwa juu yake.+