Ezekieli 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “ ‘Na hatua kwa hatua akamlea mmoja wa watoto wake.+ Akawa mwana-simba mwenye manyoya shingoni, naye akaanza kujifunza jinsi ya kurarua mawindo.+ Alimrarua hata mtu wa udongo.
3 “ ‘Na hatua kwa hatua akamlea mmoja wa watoto wake.+ Akawa mwana-simba mwenye manyoya shingoni, naye akaanza kujifunza jinsi ya kurarua mawindo.+ Alimrarua hata mtu wa udongo.