2 Wafalme 23:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yehoahazi+ alikuwa na umri wa miaka 23 alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna. 2 Mambo ya Nyakati 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kisha watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi+ mwana wa Yosia na kumfanya kuwa mfalme mahali pa baba yake katika Yerusalemu.+
31 Yehoahazi+ alikuwa na umri wa miaka 23 alipoanza kutawala, naye akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Hamutali+ binti ya Yeremia kutoka Libna.
36 Kisha watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi+ mwana wa Yosia na kumfanya kuwa mfalme mahali pa baba yake katika Yerusalemu.+