Ezekieli 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na huyo akaanza kutembea huku na huku katikati ya simba. Akawa mwana-simba mwenye manyoya shingoni. Naye hatua kwa hatua akajifunza jinsi ya kurarua mawindo.+ Akamrarua hata mtu wa udongo.+
6 Na huyo akaanza kutembea huku na huku katikati ya simba. Akawa mwana-simba mwenye manyoya shingoni. Naye hatua kwa hatua akajifunza jinsi ya kurarua mawindo.+ Akamrarua hata mtu wa udongo.+