5 Yehoyakimu+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 11 katika Yerusalemu;+ naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova Mungu wake.+
17 ‘Hakika macho yako na moyo wako haviko juu ya chochote ila pato lisilo la haki,+ na juu ya damu ya asiye na hatia ili kuimwaga,+ na juu ya kupunja na juu ya unyang’anyi ili kuyaendeleza mambo hayo.’