Ezekieli 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwishowe wakamweka katika tundu kwa kulabu na kumleta kwa mfalme wa Babiloni.+ Wakamleta kwa kutumia nyavu za kuwindia, ili sauti yake isisikiwe tena katika milima ya Israeli.+
9 Mwishowe wakamweka katika tundu kwa kulabu na kumleta kwa mfalme wa Babiloni.+ Wakamleta kwa kutumia nyavu za kuwindia, ili sauti yake isisikiwe tena katika milima ya Israeli.+