Ezekieli 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na mimi mwenyewe pia niliwaacha wawe na masharti ambayo hayakuwa mazuri na maamuzi ya hukumu ambayo hawangeweza kuendelea kuishi kulingana nayo.+
25 Na mimi mwenyewe pia niliwaacha wawe na masharti ambayo hayakuwa mazuri na maamuzi ya hukumu ambayo hawangeweza kuendelea kuishi kulingana nayo.+