Ezekieli 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nikawa nikiwaacha watiwe unajisi kwa zawadi zao walipomfanya kila mtoto aliyelifungua tumbo la uzazi apite katikati ya moto,+ ili niwafanye ukiwa, ili wapate kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’+
26 Nami nikawa nikiwaacha watiwe unajisi kwa zawadi zao walipomfanya kila mtoto aliyelifungua tumbo la uzazi apite katikati ya moto,+ ili niwafanye ukiwa, ili wapate kujua kwamba mimi ni Yehova.” ’+