-
Ezekieli 20:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Na katika kuinua zawadi zenu kwa kuwafanya wana wenu wapite katikati ya moto,+ je, mnajitia unajisi kwa ajili ya sanamu zenu zote za mavi mpaka leo hii?+ Wakati huohuo je, mtauliza neno juu yangu, Ee nyumba ya Israeli?” ’+
“ ‘Kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘Hamtauliza juu yangu.+
-