Ezekieli 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “ ‘Nami nikaendelea kumtafuta mtu kati yao ambaye angekuwa akiurekebisha ukuta wa mawe+ na kusimama katika pengo+ mbele yangu kwa ajili ya nchi hiyo, ili mimi nisiiangamize;+ nami sikumpata yeyote. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 22:30 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 20
30 “ ‘Nami nikaendelea kumtafuta mtu kati yao ambaye angekuwa akiurekebisha ukuta wa mawe+ na kusimama katika pengo+ mbele yangu kwa ajili ya nchi hiyo, ili mimi nisiiangamize;+ nami sikumpata yeyote.