Ezekieli 31:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndiyo sababu ulikuwa mrefu zaidi kwa kimo kuliko miti mingine yote ya shambani.+ “ ‘Na matawi yake yalizidi kuongezeka, na matawi yake yaliendelea kuwa marefu zaidi kwa sababu ya maji mengi kwenye mifereji ya maji.+
5 Ndiyo sababu ulikuwa mrefu zaidi kwa kimo kuliko miti mingine yote ya shambani.+ “ ‘Na matawi yake yalizidi kuongezeka, na matawi yake yaliendelea kuwa marefu zaidi kwa sababu ya maji mengi kwenye mifereji ya maji.+