Ezekieli 32:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “ ‘Huu ni wimbo wa huzuni, na hakika watu watauimba. Hata binti za mataifa watauimba; watauimba juu ya Misri na juu ya umati wake wote,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
16 “ ‘Huu ni wimbo wa huzuni, na hakika watu watauimba. Hata binti za mataifa watauimba; watauimba juu ya Misri na juu ya umati wake wote,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”