Ezekieli 33:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwishowe ikatukia kwamba katika mwaka wa kumi na mbili, katika mwezi wa kumi, siku ya tano ya mwezi wa uhamisho wetu, mtu aliyeponyoka kutoka Yerusalemu akanijia,+ akisema: “Jiji limepigwa na kuangushwa!”+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 33:21 Ibada Safi, uku. 112 “Kila Andiko,” uku. 136
21 Mwishowe ikatukia kwamba katika mwaka wa kumi na mbili, katika mwezi wa kumi, siku ya tano ya mwezi wa uhamisho wetu, mtu aliyeponyoka kutoka Yerusalemu akanijia,+ akisema: “Jiji limepigwa na kuangushwa!”+