Ezekieli 34:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Walio wagonjwa hamkuwatia nguvu,+ na anayeugua hamkumponya, na aliyevunjika hamkumfunga, na aliyefukuzwa hamkumrudisha, na aliyepotea hamkumtafuta apatikane,+ lakini mmewatawala kwa ukali, naam, kwa uonevu.+
4 Walio wagonjwa hamkuwatia nguvu,+ na anayeugua hamkumponya, na aliyevunjika hamkumfunga, na aliyefukuzwa hamkumrudisha, na aliyepotea hamkumtafuta apatikane,+ lakini mmewatawala kwa ukali, naam, kwa uonevu.+