6 “Kwa hiyo toa unabii kuhusu udongo wa Israeli, nawe utaambia milima na vilima, vijito na mabonde, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama! mimi mwenyewe katika bidii yangu na katika ghadhabu yangu lazima nitasema, kwa sababu mmechukua fedheha ya mataifa.” ’+