Ezekieli 36:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Basi tabiri kuhusu nchi ya Israeli, nawe uiambie milima na vilima, vijito na mabonde, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Tazama! Nitazungumza kwa bidii yangu na kwa ghadhabu yangu, kwa sababu mmefedheheshwa na mataifa.”’+
6 “Basi tabiri kuhusu nchi ya Israeli, nawe uiambie milima na vilima, vijito na mabonde, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Tazama! Nitazungumza kwa bidii yangu na kwa ghadhabu yangu, kwa sababu mmefedheheshwa na mataifa.”’+