Ezekieli 36:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kama kundi la watu watakatifu, kama kundi la Yerusalemu katika majira yake ya sherehe,+ hivyo ndivyo majiji yaliyokuwa yamefanywa ukiwa yatakavyojaa kundi la watu;+ nao watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’ ”
38 Kama kundi la watu watakatifu, kama kundi la Yerusalemu katika majira yake ya sherehe,+ hivyo ndivyo majiji yaliyokuwa yamefanywa ukiwa yatakavyojaa kundi la watu;+ nao watu watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’ ”