Yeremia 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na kutoka kwao hakika shukrani zitatolewa, na sauti ya wale wanaocheka.+ Nami nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+ nami nitawafanya kuwa wengi katika hesabu, nao hawatakuwa wanyonge.+ Yeremia 31:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitaipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda uzao wa mwanadamu na uzao wa mnyama wa kufugwa.”+
19 Na kutoka kwao hakika shukrani zitatolewa, na sauti ya wale wanaocheka.+ Nami nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+ nami nitawafanya kuwa wengi katika hesabu, nao hawatakuwa wanyonge.+
27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitaipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda uzao wa mwanadamu na uzao wa mnyama wa kufugwa.”+