Ezekieli 37:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaanza kuniambia: “Mwana wa binadamu, je, mifupa hii inaweza kuwa hai?” Nikajibu: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe mwenyewe unajua vema.”+
3 Naye akaanza kuniambia: “Mwana wa binadamu, je, mifupa hii inaweza kuwa hai?” Nikajibu: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe mwenyewe unajua vema.”+