17 kama ilivyoandikwa: “Nimekuweka wewe kuwa baba ya mataifa mengi.”)+ Hili lilikuwa machoni pa Yule ambaye katika yeye alikuwa na imani, ndiyo, machoni pa Mungu, anayewafanya wafu kuwa hai+ na kuyaita mambo yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.+
9 Kwa kweli, tuliona ndani yetu wenyewe kwamba tumepokea hukumu ya kifo. Ilikuwa hivyo ili uhakika+ wetu uwe, si katika sisi wenyewe, bali katika Mungu ambaye huwafufua wafu.+