Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Oneni sasa kwamba mimi—mimi ndiye+

      Na hakuna miungu pamoja nami.+

      Mimi huua, nami hufanya hai.+

      Nimejeruhi vikali,+ na mimi—mimi nitaponya,+

      Na hakuna anayenyakua kutoka mkononi mwangu.+

  • 1 Samweli 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova ni Mwenye Kuua na Mwenye Kuhifadhi uhai,+

      Ni Mwenye Kushusha mpaka katika Kaburi,*+ na Yeye huinua.+

  • Waroma 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kama ilivyoandikwa: “Nimekuweka wewe kuwa baba ya mataifa mengi.”)+ Hili lilikuwa machoni pa Yule ambaye katika yeye alikuwa na imani, ndiyo, machoni pa Mungu, anayewafanya wafu kuwa hai+ na kuyaita mambo yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.+

  • 2 Wakorintho 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa kweli, tuliona ndani yetu wenyewe kwamba tumepokea hukumu ya kifo. Ilikuwa hivyo ili uhakika+ wetu uwe, si katika sisi wenyewe, bali katika Mungu ambaye huwafufua wafu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki