Ezekieli 40:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na chumba cha walinzi kilikuwa na urefu wa utete mmoja na upana wa utete mmoja, na kati ya vyumba vya walinzi+ kulikuwa na kipimo cha mikono mitano; na kizingiti cha lango kando ya ukumbi wa lango kuelekea upande wa ndani kilikuwa utete mmoja.
7 Na chumba cha walinzi kilikuwa na urefu wa utete mmoja na upana wa utete mmoja, na kati ya vyumba vya walinzi+ kulikuwa na kipimo cha mikono mitano; na kizingiti cha lango kando ya ukumbi wa lango kuelekea upande wa ndani kilikuwa utete mmoja.