7 Kila chumba cha walinzi kilikuwa na urefu wa utete mmoja na upana wa utete mmoja, na kulikuwa na kipimo cha mikono mitano kati ya vyumba vya walinzi.+ Kipimo cha kizingiti cha lango kando ya ukumbi wa lango linalotazama upande wa ndani kilikuwa utete mmoja.