-
Ezekieli 47:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Na itakuwa kwamba kila nafsi hai ambayo huzaana kwa wingi,+ kila mahali ambapo huja kijito hicho kilichoongezeka ukubwa wake mara mbili, itapata uzima. Na itatukia kwamba kutakuwako samaki wengi sana, kwa sababu hapo ndipo maji hayo hakika yataingia, nayo maji ya bahari yataponywa,+ na kila kitu kitakuwa hai mahali ambapo kijito hicho kitafika.
-