Ezekieli 47:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Na itatukia kwamba wavuvi watasimama kando yake kutoka En-gedi+ mpaka En-eglaimu. Kutakuwa na uwanja wa kukaushia nyavu za kukokota. Kulingana na aina zake, samaki wao watakuwa wengi sana, kama samaki wa ile Bahari Kuu.+ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 47:10 w99 3/1 21 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 47:10 Ibada Safi, kur. 203-205 Mnara wa Mlinzi,3/1/1999, uku. 21
10 “Na itatukia kwamba wavuvi watasimama kando yake kutoka En-gedi+ mpaka En-eglaimu. Kutakuwa na uwanja wa kukaushia nyavu za kukokota. Kulingana na aina zake, samaki wao watakuwa wengi sana, kama samaki wa ile Bahari Kuu.+