Danieli 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Yehoyakimu+ mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu na kulizingira.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:1 jr 24; dp 18-19, 31-32 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:1 Yeremia, uku. 24 Unabii wa Danieli, kur. 18-19, 31-32 “Kila Andiko,” uku. 138
1 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Yehoyakimu+ mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu na kulizingira.+