Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Ndipo Danieli, ambaye jina lake ni Belteshaza,+ alishangaa kwa muda fulani, na mawazo yake yakaanza kumwogopesha.+

      “Mfalme akasema, ‘Ee Belteshaza, usiache ndoto ile na tafsiri yake ikuogopeshe.’+

      “Belteshaza akajibu na kusema, ‘Ee bwana wangu, ndoto hiyo na iwahusu wale wanaokuchukia, na tafsiri yake iwahusu adui zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki