Danieli 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi ikawa kwamba Danieli huyo akajipatia sifa+ juu ya wale maofisa wakuu na maliwali, kwa maana roho isiyo ya kawaida ilikuwa ndani yake;+ naye mfalme alikuwa anakusudia kumwinua juu ya ufalme wote. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 6:3 dp 116 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:3 Unabii wa Danieli, uku. 116
3 Basi ikawa kwamba Danieli huyo akajipatia sifa+ juu ya wale maofisa wakuu na maliwali, kwa maana roho isiyo ya kawaida ilikuwa ndani yake;+ naye mfalme alikuwa anakusudia kumwinua juu ya ufalme wote.