Danieli 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Papo hapo wakajibu, nao wakasema mbele ya mfalme: “Danieli,+ ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ hakukujali wewe, Ee mfalme, wala hakujali ile amri ya marufuku uliyotia sahihi, bali yeye anatoa maombi yake mara tatu kwa siku.”+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 6:13 dp 120 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:13 Unabii wa Danieli, kur. 119-120
13 Papo hapo wakajibu, nao wakasema mbele ya mfalme: “Danieli,+ ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ hakukujali wewe, Ee mfalme, wala hakujali ile amri ya marufuku uliyotia sahihi, bali yeye anatoa maombi yake mara tatu kwa siku.”+