Danieli 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Musa,+ msiba huu wote—umekuja juu yetu,+ nasi hatukuutuliza uso wa Yehova Mungu wetu kwa kuacha makosa yetu+ na kwa kuonyesha ufahamu katika ukweli wako.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 9:13 dp 183 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:13 Unabii wa Danieli, uku. 183
13 Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Musa,+ msiba huu wote—umekuja juu yetu,+ nasi hatukuutuliza uso wa Yehova Mungu wetu kwa kuacha makosa yetu+ na kwa kuonyesha ufahamu katika ukweli wako.+