24 Wakati ambapo hakuna mahangaiko,+ yeye ataingia katika unono wa wilaya ya utawala na kufanya yale ambayo hawakufanya baba wala baba za baba zake. Atatawanya kati yao vitu vya kuporwa na nyara na mali; naye atapanga hila zake juu ya mahali penye ngome,+ lakini ni kwa muda tu.