Yoeli 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mbele yake moto umeteketeza,+ na nyuma yake mwali wa moto huteketeza.+ Mbele yake nchi ni kama bustani ya Edeni;+ lakini nyuma yake ni nyika iliyo ukiwa, wala hakuna chochote kinachoponyoka.
3 Mbele yake moto umeteketeza,+ na nyuma yake mwali wa moto huteketeza.+ Mbele yake nchi ni kama bustani ya Edeni;+ lakini nyuma yake ni nyika iliyo ukiwa, wala hakuna chochote kinachoponyoka.