7 Zaidi ya hayo, akaagiza mwito utolewe, naye akaagiza utolewe katika Ninawi, kwa agizo la kisheria la mfalme na wakubwa wake, na kusema:
“Hakuna mwanadamu wala mnyama wa kufugwa, mifugo wala kundi, anayepaswa kuonja kitu chochote. Yeyote asile chakula. Hata maji wasinywe.+