Mika 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nawe utakula wala hutashiba, nawe utakuwa na njaa.+ Nawe utaondoa vitu, lakini hutavichukua na kuvipeleka salama; na chochote ambacho utachukua na kukipeleka salama, nitakitoa kwa upanga.+
14 Nawe utakula wala hutashiba, nawe utakuwa na njaa.+ Nawe utaondoa vitu, lakini hutavichukua na kuvipeleka salama; na chochote ambacho utachukua na kukipeleka salama, nitakitoa kwa upanga.+