Hagai 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye Hagai akaendelea kusema: “Mtu aliye najisi kutokana na nafsi iliyokufa akigusa chochote kati ya vitu hivyo, je, kitu hicho kitakuwa najisi?”+ Nao makuhani wakajibu na kusema: “Kitakuwa najisi.” Hagai Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:13 “Kila Andiko,” kur. 167-168
13 Naye Hagai akaendelea kusema: “Mtu aliye najisi kutokana na nafsi iliyokufa akigusa chochote kati ya vitu hivyo, je, kitu hicho kitakuwa najisi?”+ Nao makuhani wakajibu na kusema: “Kitakuwa najisi.”