Hagai 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 tangu mambo hayo yalipotukia—mtu alikuja kwenye rundo la vipimo 20, kumbe kulikuwa na 10; mtu alikuja kwenye mtungi wa kushinikizia ili kuchota vipimo 50 vya pipa la divai, kumbe vilikuwa 20.+
16 tangu mambo hayo yalipotukia—mtu alikuja kwenye rundo la vipimo 20, kumbe kulikuwa na 10; mtu alikuja kwenye mtungi wa kushinikizia ili kuchota vipimo 50 vya pipa la divai, kumbe vilikuwa 20.+