Zekaria 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Ukitembea katika njia zangu, nawe ukishika wajibu wangu,+ basi wewe ndiye utakayeihukumu nyumba yangu+ na kuzitunza nyua zangu pia; nami nitakupa uhuru wa kuingia katikati ya hawa wanaosimama karibu.’
7 “Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Ukitembea katika njia zangu, nawe ukishika wajibu wangu,+ basi wewe ndiye utakayeihukumu nyumba yangu+ na kuzitunza nyua zangu pia; nami nitakupa uhuru wa kuingia katikati ya hawa wanaosimama karibu.’