Kumbukumbu la Torati 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nawe utaenda kwa makuhani+ Walawi, na kwa mwamuzi+ atakayekuwa akitenda siku hizo, nawe utauliza, nao watakupa neno la uamuzi wa hukumu.+ Malaki 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+
9 nawe utaenda kwa makuhani+ Walawi, na kwa mwamuzi+ atakayekuwa akitenda siku hizo, nawe utauliza, nao watakupa neno la uamuzi wa hukumu.+
7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+