-
Mathayo 20:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 na kusema, ‘Hawa wa mwisho walifanya kazi kwa saa moja; na bado umewafanya kuwa sawa na sisi tuliofanya kazi ngumu mchana kutwa katika lile joto lenye kuchoma!’
-
-
Mathayo 20:12Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
12 na kusema, ‘Hawa wa mwisho walitumia saa moja katika kazi; na bado uliwafanya sawa na sisi tuliochukua ule mzigo wenye kulemea wa mchana na lile joto lenye kuchoma!’
-