-
Mathayo 27:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
19 Zaidi ya hayo, alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mke wake akampelekea habari, akisema: “Usijihusishe kwa vyovyote na mtu huyo mwadilifu, kwa maana niliteseka sana leo katika ndoto kwa sababu yake.”
-