-
Marko 11:13Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
13 Na kwa umbali akaona mara hiyo mtini uliokuwa na majani, naye akaenda kuona kama labda angeweza kupata kitu fulani juu ya huo. Lakini, alipoujia, hakupata kitu ila majani, kwa maana hayakuwa majira ya tini.
-