-
Luka 17:31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 “Siku hiyo mtu aliye juu ya paa ya nyumba lakini ambaye vitu vyake vinavyoweza kuchukuliwa vimo katika nyumba asishuke kuvichukua, na mtu aliye nje katika shamba, yeye vivyo hivyo asirudie vitu vilivyo nyuma.
-
-
Luka 17:31Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
31 “Siku hiyo mwacheni mtu aliye juu ya paa ya nyumba lakini ambaye vitu vyake vyenye kuchukulika vimo katika nyumba asiteremke kuvichukua, na mtu aliye nje katika shamba, mwacheni yeye hivyohivyo asirudi kwenye vitu vilivyo nyuma.
-