-
Yohana 4:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Akamwambia: “Bwana, huna hata ndoo ya kutekea maji, na kisima ni kirefu. Kwa hiyo, umeyatoa wapi maji hayo yaliyo hai?
-
-
Yohana 4:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Akamwambia: “Bwana, huna hata ndoo ya kutekea maji, na kisima ni chenye kina kirefu. Kwa hiyo, ni kutoka chanzo gani unayo maji hayo yaliyo hai?
-